Halmashauri hiyo pia ilikata maji safi na ya mifumo ya maji taka katika jengo la Stima Plaza, kituo cha biashara cha Kenya Power.
Serikali ya Sudan imesema siku ya Jumatatu itachukua "hatua za lazima" katika kukabiliana na kile ilichokiita usaidizi wa ...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi na Mipaka nchini Kenya IEBC Wafula Chebukati ameaga dunia mapema leo.
Kufunga mirija ya uzazi inapendekezwa ifanywe na wanawake ambao wameamua hawataki kujifungua watoto siku zijazo, kwani ...
Kundi hilo, ambalo sasa linajiita Sudan Founding Alliance, linadai linataka taifa hilo jipya liwe la kisekula, kidemokrasia, ...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC), Wafula Chebukati, amefariki dunia jana katika ...
Aidha, Chebukati ameugua kwa takriban wiki moja na alikuwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) kabla ya kufariki.
Takriban watu 46 wamepoteza maisha baada ya ndege ya jeshi la Sudan kuanguaka katika eneo la makaazi nje kidogo ya mji wa Khartoum. Wizara ya afya Sudan imesema watoto ni miongoni mwa waliojeruhiwa ka ...
vifo vya viongozi, viongozi wastaafu, utekaji, Tume Huru ya Uchaguzi, uchaguzi mkuu, kupiga kura, wagonjwa mahututi, ...
Uingereza imetangaza kusitisha msaada wake kwa Rwanda. Uamuzi huo umechukuliwa kutokana na mashambulizi yanayofanywa na waasi wa M23 ambao wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanasema wanaungwa mkono na Rwa ...
Chama cha Matibabu cha Australia (A-M-A) kimesema ni vigumu kujua kama jeki ya uwekezaji wa $8.5 bilioni ya serikali ya Labor ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果