Halmashauri hiyo pia ilikata maji safi na ya mifumo ya maji taka katika jengo la Stima Plaza, kituo cha biashara cha Kenya Power.
Serikali ya Sudan imesema siku ya Jumatatu itachukua "hatua za lazima" katika kukabiliana na kile ilichokiita usaidizi wa ...
Waandishi wa habari za michezo nchini Kenya Ijumaa wiki hii, walipitishwa hatua kwa hatua kabla ya makala ya 56 ya michuano ...
Kufunga mirija ya uzazi inapendekezwa ifanywe na wanawake ambao wameamua hawataki kujifungua watoto siku zijazo, kwani ...
Jenerali Abdelfattah El Burhan ameondoa uwezekano wa kufanya mazungumzo na RSF au makundi yenye kuwaunga mkono akidai kuwa ...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC), Wafula Chebukati, amefariki dunia jana katika ...
Aidha, Chebukati ameugua kwa takriban wiki moja na alikuwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) kabla ya kufariki.
Takriban watu 46 wamepoteza maisha baada ya ndege ya jeshi la Sudan kuanguaka katika eneo la makaazi nje kidogo ya mji wa Khartoum. Wizara ya afya Sudan imesema watoto ni miongoni mwa waliojeruhiwa ka ...
vifo vya viongozi, viongozi wastaafu, utekaji, Tume Huru ya Uchaguzi, uchaguzi mkuu, kupiga kura, wagonjwa mahututi, ...
SHIRIKISHO la Soka Kenya (FKF) lina uongozi mpya, lakini baada ya kuingia madarakani mambo mengi katika soka nchini humo ...
Uingereza imetangaza kusitisha msaada wake kwa Rwanda. Uamuzi huo umechukuliwa kutokana na mashambulizi yanayofanywa na waasi wa M23 ambao wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanasema wanaungwa mkono na Rwa ...