Halmashauri hiyo pia ilikata maji safi na ya mifumo ya maji taka katika jengo la Stima Plaza, kituo cha biashara cha Kenya Power.
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameonesha kupinga tangazo la kuundwa kwa serikali mbadala ya Sudan na waasi ...
Serikali ya Sudan imesema siku ya Jumatatu itachukua "hatua za lazima" katika kukabiliana na kile ilichokiita usaidizi wa ...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi na Mipaka nchini Kenya IEBC Wafula Chebukati ameaga dunia mapema leo.
Kufunga mirija ya uzazi inapendekezwa ifanywe na wanawake ambao wameamua hawataki kujifungua watoto siku zijazo, kwani ...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC), Wafula Chebukati, amefariki dunia jana katika ...
Aidha, Chebukati ameugua kwa takriban wiki moja na alikuwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) kabla ya kufariki.
Seva nyingi hizi zipo kwenye vituo vya data nje ya Afrika na nyaya hizo hutandazwa chini ya bahari kuunganisha mtandao na ...
Takriban watu 46 wamepoteza maisha baada ya ndege ya jeshi la Sudan kuanguaka katika eneo la makaazi nje kidogo ya mji wa Khartoum. Wizara ya afya Sudan imesema watoto ni miongoni mwa waliojeruhiwa ka ...
vifo vya viongozi, viongozi wastaafu, utekaji, Tume Huru ya Uchaguzi, uchaguzi mkuu, kupiga kura, wagonjwa mahututi, ...
Chama cha Matibabu cha Australia (A-M-A) kimesema ni vigumu kujua kama jeki ya uwekezaji wa $8.5 bilioni ya serikali ya Labor ...